Posts

Showing posts from January, 2018

MKOA WA PWANI WAZINDUA MSIMU MPYA WA KILIMO IKIWEMO MPUNGA 2018/2019

Image
Mkuu Wa Mkoa Wa Pwani mhandisi Evarist Ndikilo, akizungumza jambo kabla ya kuzindua msimu mpya wa Kilimo 2018/2019 katika mashamba ya Ushirika wa CHAURU ,huko Ruvu,Bagamoyo mkoani Pwani Na Mwamvua Mwinyi,Pwani   MKUU wa mkoa wa Pwani ,mhandisi Evarist Ndikilo ,amekiagiza Chama Cha  Ushirika cha Wakulima wa Umwagiliaji Ruvu (CHAURU), kumnyang’anya mwekezaji wa Kichina M/S Guoming Tang ,hekari 300 kati ya 380 alizozihodhi,ili zitumiwe na wakulima msimu mpya wa kilimo.   Aidha ameuagiza ushirika huo, halmashauri ya Chalinze na serikali ya wilaya ya Bagamoyo kukakikisha hekta 1,800 kati ya 3,209 zilizopo kwenye shamba hilo ,zinatumika kupandwa mikorosho ya kisasa.   Ndikilo aliyatoa maagizo hayo ,wakati wa uzinduzi wa msimu mpya wa kilimo ikiwemo mpunga 2018/2019.##   Alisema ,mwekezaji huyo anapaswa kubakia na eneo atakaloweza kulifanyia kazi kuliko kuchukua eneo kubwa ambalo analikodisha na kujinufaisha nalo .   “Tena asisuesue ,nashukuru uong...

ODINGA :HATUA YA LEO NI KUELEKEA UDIKITETA KUELEKEA DEMOKRASIA.

Image
Raila aondoka uwanja wa Uhuru Park Punde tu alipofika na 'kula kiapo' Raila Odinga ameondoka. Wengi wamekuwa wakisubiri kwa hamu na ghamu, bila kutegemea kwamba atachukua muda mfupi hivyo. Awali Raila Odinga aliiambia kituo cha habari cha KTN kwamba shughuli hio ' si mapinduzi ya serikali' Article share tools Sambaza habari hii Facebook Sambaza habari hii Twitter View more share options Share this post Copy this link Soma zaidi kuhusu vihusishi hivi Read more about sharing BBC content externally Imepakiwa mnamo 11:55 Odinga akula kiapo uwanja wa Uhuru Park Raila Odinga amefika katika pamoja na viongozi kadha wakuu wa NASA na kujiapisha akishika Biblia. Amewaambia kuwa mgombea mwenza wake Kalonzo Musyoka wa chama cha Wiper ataapishwa baadaye. Viongozi wengine wenza wa Nasa Moses Wetangula na Musalia Mudavadi pia hawakufika katika wuanja huo. Bw Odinga amesema leo ni siku ya kihistoria kwa Kenya. "Hatua ...

NECTA YA TANGAZA MATOKEO YA KIDATO CHANNE; MARIANBOYS YA ONGOZA .

Image
Matokeo ya kidato cha nne yametangazwa rasmi na Katibu Mkuu wa Necta,  Dk Charles Msonde na aliyengoza kitaifa ni Ferson Mdee kutoka Marian Boys.

TBF IMEZITAKA TAASISI ZA MPIRA WAKIKAPU KUSAJILIWA .

Image
Timothy Marko SHIRIKISHO la mpira wa kikapu nchini (TBF) imewataka wadau nawanamichezo na Taasisi mbalimbali za serikali nabinafsi zinazo shiriki mashindano ya mpira wakikapu kuweza kusajiliwa  ilikuondokana natatizo lakucheza mchezo huo chini ya kiwango nakushindwa katika ngazi za kimataifa za mashindano ya mpira huo . Akizungumza na waandishi wa habari jijini Rais wa shirikisho hilo Phares Magesa amesema kuwa kumekuwa na baadhi ya Taasisi za serikali nazile za binafsi zimekuwa zikishiriki mashindano yampira wa kikapu pasipo kuzingatia suala latakwimu za wachezaji wanao shiriki mchezo huo wenye umaarufu duniani . ''Lengo lakusajiliwa kwa taasisi za umma na zile za binafsi zinazo shiriki ni kuweza kufanya tahimini za viwango vya wachezaji wampira wakikapu pamoja na maendeleo yampira wakikapu nchini ''Alisema Rais wa Shirikisho Phares Magesa . Rais wa TBF Magesa alisema kuwa shirikisho hilo limeweka mpango mkakati wa kubadili katiba wa maendeleo yampira wakikapu...

SERIKALI YATOA MUONGOZO WA MATUMIZI YA MWASILIANO .

Image
NAIBU WAZIRI WA UJENZI UCHUKUZI NA MAWASILIANO MHANDISI ATASHASTA ANDITIYE AKIFAFA NUA JAMBO  Timothy Marko. Serikali imewataka watumiaji wa Mawasiliano ikiwemo mitandao ya kijamii kuzingatia utoaji taarifa wenye tija kwajamii nakuwataka wananchi ambao niwatumiaji wamitandao hiyo kuitumia vizuri ilikuweza kujiletea maendeleo ya kiuchumi . Kauli hiyo imetolewa mapema hii leo jijini Dar es salaam na Naibu waziri wa Ujenzi uchukuzi na Mawasiliano  Mhandisi Atashstaditye wakati akizindua muongozo kwa watumiaji wahuduma na bidhaa za mawasilano nchini ambapo amesemakuwa sekta yamawasiliano imekuwa ikikuwa kwa kasi katika kipindi chahivi karibuni ambapo aliwataka wasimamizi wa sekta hiyo ambao ni mamlaka ya mawasiliano nchini (TCRA)Kuweka uwiano sawa katika kutoa huduma za mawasiliano . ''Sekta hii yamawasiliano imekuwa ikikuwa kwakasi ambapo katika sektahii kunawadau wanne ambao niwatoaji wahuduma wasambazaji wa huduma za mawasiliano walaji wahuduma za mawasiliano na wadhib...

SERIKALI YAWATAKA WASAMBAZAJI WADAWA NCHINI KUFUATA MIONGOZO YA USAMBAZAJI DAWA

Image
WAZIRI WA AFYA UMMY MWALIMU Timoth  Marko. SERIKALI imewataka wasambazaji madaktari na wauzaji wa dawa za bindamu nchini kuwezakufuata miongozo nakanuni za usambazaji wadawa kwa watumiaji wadawa hizo nakuwataka baadhi ya madaktari kutowaandikia wagonjwa dawa ambazo azijapewa miongozo na serikali . Akizungumza jijini Dar es salaam Waziri wa Afya ,Maendeleo ya jamii jinsia wazee na Watoto Ummy Mwalimu amesema kuwa kumekuwa na tabia yabaadhi yawatalamu wa afya walipo katika baadhi ya hospitali za serikali huwaelekeza wananchi kununua dawa za binadamu ambazo hazijapewa miongozo na serikali nakuwalazimisha wananchi kununua dawa hizo katika maduka yadawa za binadamu yabinafsi kwa bei ya juu jambo ambalo nikinuyume na sera ya afya ya serikali. ''Niwataka watalamu wetu wa afya kufuata miongozo ya wizara afya yausambazaji nauuzaji wa dawa usimwandikie mwananchi dawa anayoitaka ila mwandikie dawa kwamujibu wa kanuni namiongozo yausambazaji wa dawa nchini kwani kutokufanyahivyo...

Watoto waliofungwa minyororo wapatikana kwenye nyumba California

Image
 matwa huko California baada ya polisi kupata watu 13 waliokuwa wameshikiliwa mateka nyumbani kwao wakiwemo wengine waliofungiwa kwenye vitanda vyao kwa minyororo na makufuli. David Allen Turpin, 57, na Louise Anna Turpin, 49, walikamatwa kwa tuhuma za mateso na kuhatarisha maisha ya watoto. Watu hao 13 walio na umri wa kati ya miaka miwili na 29, walipatikana kwenye nyumba eneo la Perris kilomita 95 kusini mashariki mwa Los Angeles. Familia yaasili watoto saba ndugu Marekani Wapiganaji ''wawateka nyara'' watoto wachanga Nigeria Wote hao wanaaminika kuwa ndugu. Maafisa waligundua hilo siku ya Jumapili wakati mmoja wa watoto hao alifanikiwa kuponyokana na kupiga namba ya dharura akitumia simu ambayo alipata ndani ya nyumba. Msichana huyo ambaye polisi wanasema alionekana kuwa na umri wa miaka 10, alidai kuwa ndugu zake wengine 12 walikuwa wakishikiliwa na wazazi wao

WAZIRI UMMY:UJAUZITO SIO UGONJWA WANANCHI CHANGIENI HUDUMA.

Image
Waziri wa Afya maendeleo yajamii jinsia wazee na watoto Ummy Mwalimu  Timothy Marko. Serikali imewatakawananchi  kuweza kuchangia gharama za kujifungua pindi wanawake wanapokwenda katika hospitali za umma nakusisitiza kuwa nivyema wananchi hao wakawekeza fedha kidogo kidogo mbaka wakati wakujifungua ili kuondoa gharama za matibabu za huduma hiyo kwa serikali . Akizungumza katika ziara hospitali ya Mkoa wa Dar es salaam ya Amana jijini hapa Waziri wa Afya maendeleo yajamii jinsia wazee na watoto Ummy Mwalimu aliwataka wajawazito kuweza kuwekeza kidogo kidogo fedha kwajili ya gharama za kujifungua na badala yake kuishushia mzigo serikali ilikuweza kutoa hudumahiyo . ''Jamani kinamama mnapaswa kuwekeza kidogo kidogo leo umepata shilingi elfu kumi kesho elfu ishirini tayari umeshapata huduma ya kujifungulia baadala kuitegemea serikali iweze kuwasaidia nilazima nanyinyi kama wakinamama muweze kuchangia huduma ''Alisema Waziri Ummy Mwalimu . Waziri ummy alisema k...

JESHI LAPOLISI KUUNGANA NA MSUMBIJI KUWASAKA WAHALIFU.

Image
 Mkuu wa jeshi POLISI nchini Tanzania Inspekta Simoni SIRRO Timothy Marko Jeshi la polisi  nchini kwakushirikiana na jeshi lapolisi nchini Msumbiji limeingia makubaliano ya kupambana na uhalifu katika maeneo ya mipakani ikiwemo wahamihaji haramu nawaojihusisha na vitendo vya ugaidi pamoja na uhalifu wa kutumia silaha . Akizungumza na waandishi habari jijini Dar es salaam Mkuu wa jeshi hilo nchini Tanzania Inspekta Simoni Sirro amesema kuwa hatua hiyo imetokana na kuwepo kwa taarifa kwa baadhi yawahalifu waliohusika na mauaji mkoa wa pwani kata yakibiti kutoroka nakwenda msumbiji baada ya jeshi hilo kufanya msako wa wahalifu hao . ''Taarifa zinaonesha kuwa baadhi yawahalifu waliopo kibiti mkoani pwani wamekimbilia katika nchi ya msumbiji ,niwahakikikishie wale wahalifu walio kimbilia msumbiji hawapo salama unapojiingiza kwenye uhalifu wakutumia silaha dawa yake nisilaha tunachokitaka watu wamsumbiji naafrika mashariki waaishi kwa amani ''Alisema inspeta Simon ...

CTI YAIOMBA SERIKALI KURUHUSU VIBALI VYA USAMBAJI SUKARI.

Image
Mwenyekiti wa Shirikisho CTI Dk.Samwel nyantahe. Timothy Marko SHIRIKISHO la viwanda nchini (CTI)imeiomba serikali kuweza kutoa vibali vya usambazaji sukari ilikuweza kunusuru sekta yaviwanda vyavinjwaji nchini ambayo hutumia sukari hiyo ilkuweza kuzalisha bidhaa hizo. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Mwenyekiti wa Shirikisho hilo Dk.Samweli Nyantahe amesema kuwa kwazaidi yamiaka mitatu kumekuwa natatizo lakuadimika kwa sukari za viwandani jambo linalo weka baadhi yaviwanda vinavyozalisha bidhaa hiyo kusua sua katika uzalishaji . ''Hali hii imepelekea kwa baadhi yawafanyabishara wasioaaminifu kuanza kuchanganya sukari yakaaida ambayo inatozo yasilimia 12wakati sukari yaviwandani ikitozwa kwa asilimia15 kodi yamapato nakusabisha viwanda hivyo kurejeshewa shilingi bilioni25kwenye viwanda vikubwa ''Alisema Dk.samweli Nyantahe Mwenyekiti Dk.Nyantahe amesema kuwa kutokana na tozo hiyo inatarajikupeleka ombi kwa wizara ya viwanda ilikuweza kufanya majadi...