Mvua yatatiza mpambano kati ya Simba SC na El Masri
Tatizo la Miundo mbinu katika viwanja vya michezo limeendelea kuwa ni kero kwa wadau wa michezo hususani mchezo wa soka , baada ya jana usiku kulazimika kusitishwa kwa muda mechi ya kombe la shirikisho kati ya Timu ya Simba sc na El Masri ya Misri iliyochezwa katika uwanja mkuu wa taifa jijini Dar es salaam. Umeme ulikatika wakati mchezo ukiwa unaendelea kutokana na kunyesha mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali . Kwa mujibu wa sheria za soka waamuzi wa mchezo huo Hando Helpus akisaidiwa na Zakjele Thusi na Athenkosi Ndongeni wote kutoka Afrika, walilazimika kusitisha mchezo zikiwa zimesalia dakika 7 mchezo kumalizika ikiwa ni dk 83 kipindi cha pili kutokana na uwanja kujaa maji na kugubikwa na giza totoro. Simba, Azam dimbani leo Lwandamina-Tutawafunga Simba Hadi mchezo ulipositishwa matokeo ilikuwa mabao 2-2 na baadaye wasimamizi wakachezesha dakika zilizosalia kumaliza mechi hiyo wakai hali ilipotulia kiasi. Licha ya Baadhi ya viwanja vikubwa vya michezo kuidhinishw...
Comments
Post a Comment