Tewuta: chama cha wafanyakakzi champongeza Jonh magufuli
Timothy Marko Chama cha wafanyakazi was sekta ya Huduma za mtandao wa mawasiliano nchini(Tewuta) kimempongeza Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dk jonh Magufuli kwa uamuzi wake wakutaka juuya ubinafusishaji wa airtel ambapo hapo awali kampuni hiyo ilikuwa ikimilikiwa TTCL. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam Mwenyekiti wa chama hicho Pius Makuke amesema kuwa kulikuwa na mchezo mchafu uliotokana watanazania wachache wenye uchu wa fedha kuingia mikataba na wa wekezaji wasio jali maslahi ya nchi. "Ikumbukwe mwaka2001 kampuni ya TTCl ikabinafusishwa na ujerumani muwekezaji huyo,an alkali pa* alisemana muwekezajuhuyo alupa sh5000, Serikaliimesha fanyaujuchunguzi juu ya mchakatowa uchuguzi.