Tetesi za Soka Ulaya

Chelsea wanatarajia kumteua kocha wa
Juventus, Massimiliano Allegri, kuwa meneja wa mpya mwishoni mwa msimu
lakini kama itashindikana mazungumzo na meneja wa zamani wa Barcelona
Luis Enrique. (Star)
Klabu ya Real Sociedad ya nchini Hispania,
inayosuasua kwenye ligi ya nchini humo inamtaka meneja wa Newcastle
Rafael Benitez kuwa meneja wake mpya. (Mirror)
Comments
Post a Comment