Tetesi za Soka Ulaya

Chelsea wanatarajia kumteua kocha wa Juventus, Massimiliano Allegri

Chelsea wanatarajia kumteua kocha wa Juventus, Massimiliano Allegri, kuwa meneja wa mpya mwishoni mwa msimu lakini kama itashindikana mazungumzo na meneja wa zamani wa Barcelona Luis Enrique. (Star)
Klabu ya Real Sociedad ya nchini Hispania, inayosuasua kwenye ligi ya nchini humo inamtaka meneja wa Newcastle Rafael Benitez kuwa meneja wake mpya. (Mirror)

Comments

Popular posts from this blog

Mvua yatatiza mpambano kati ya Simba SC na El Masri

Marubani Wawili Wapoteza Maisha kwa Ajali ya Ndege Zanzibar

Huduma za serikali ya Marekani zakwama kwa mara nyengine