MASAUNI ABAINI MADUDU BANDARINI,AUNDA KAMATI .
Naibu waziri wa mambo ya Ndani ya Nchi Hamad Masauni |
Akizungumza mara baada ya kufanya ukaguzi wa magari hayo katika bandari jijini Dar es salaam Naibu waziri masauni alibaini kuwa magari hayo yenye thamani ya dola milioni 601ambayo nimkopo baadhi ya magari hayo ambayo ni malori yamekuwa hayana viwango nakuweza kukiuka taratibu za uagizwaji bandarini hapo.
''ujwaji wa malori haya yapolisi yanaibua maswali hata ukiangalia mkataba wake unaleta maswali ,kwahiyo nimeamua kuunda kamati yauchunguzi wamagari haya kamati hii itabidi ichunguze msambazaji wa magari haya yote hii nikuhakikisha rasmali za nchini zinatumika ipasavyo ''Alisema Naibu Waziri Hamadi Masauni .
Masauni alitaka kamati zitakazo husika kuweza kushirikiana na Tamesa pamoja Nit ilikuweza kuharakakisha ukaguzi wa magari hayo ilikuweza kutoa ripoti itakayoleta majibu sahihi .
Comments
Post a Comment