Tume ya haki za binadamu ya baini ukiukwaji haki Rahaco
Timothy Marko.
Tume ya haki za binadamu nchini imebaini kuwepo kwa ukiukwaji wa haki za binadamu katika zoezi la kuwa hamisha waliopo pembezoni mwa reli ya tazara
Akititoa uamuZi huo mwenyekiti wa tume ya haki za binadamu Bahame Nyanduga amesema kuwa rahaco ilivunja nyumba za walalamikaji bila kufuata taratibu za kisheria na kutolipa fidia.
"Kulingana na misingi ya haki za binadamu nasheria za nchi pale ukiukwaji wahaki za bibadamu unatakiwa ifidiwe,,"alisema nyanduga
Nyaduga alisema kuwa kifungu cha6(1
Tume ya haki za binadamu nchini imebaini kuwepo kwa ukiukwaji wa haki za binadamu katika zoezi la kuwa hamisha waliopo pembezoni mwa reli ya tazara
Akititoa uamuZi huo mwenyekiti wa tume ya haki za binadamu Bahame Nyanduga amesema kuwa rahaco ilivunja nyumba za walalamikaji bila kufuata taratibu za kisheria na kutolipa fidia.
"Kulingana na misingi ya haki za binadamu nasheria za nchi pale ukiukwaji wahaki za bibadamu unatakiwa ifidiwe,,"alisema nyanduga
Nyaduga alisema kuwa kifungu cha6(1
Comments
Post a Comment