Time ya uchaguzi yavionya vyama vya siasa.
Timothy Marko.
Tume ya uchaguzi nchini (NEC)imevitaka vyama vya siasavitakavyo shiriki uchaguzi mdogo kuheshimu sheria na maadili ya uchaguzi .
Wito huo umetolewa na mwenyekiti wa time ya uchaguzi jaji semistocles kaijage amesema kuwatume hiyo imeshajiandaa vyema kuhakikisha uchaguzi huo mdogo wa madiwani unafinyika kwa muda unaitakiwa na kufikisha vifaa kwa wakati.
"Kwa mujibu wa Sheria sura 124A tulisainikuyakubali kuheshimu na kutekeleza maaadili yachaguzi,"alisema kaijage
Comments
Post a Comment