SIKU YA TAkwimu Afrika Nov 20
Add caption |
Maadhimisho ya siku ya Takwimu afrika kufanyika November 20 mwaka huu katika ukumbi wa Mwalimu nyerere jijini Dar es salaam.
Akizungumza jijini Dar es salaam Mkurugenzi wa shughuli za kitakwimu katika ofisi ya Takwimu lrenius Ruyobya amesema maadhimisho hayo yanaendana sambamba na matumizi bora ya Takwimu katika kuleta maendeleo.
"Matumizi sahihi Takwimu za uchumi yataiwezesha serikali katika kutungasera itakayo tumika katika mipango ya maendeleo," alisema Mkurugenzi irenius ruyobya.
Ruyobya alisema program Zotezinalenga kuboresha maisha ya wananchi kwakuhakiasha hudumaza jamii zinapatikana.
Comments
Post a Comment