Jeshi LA polisi kutowavumilia madereva wazembe
Timothy Marko.
Jeshi la polisi kitengo cha usalama barabani limesema litaendelea na uukaguzi wa magari sambamba na kusimamiasheria za barabarani ili kuepukana ajali.
Akizungumza na waandishi wa HABARI Kamishina mwandamizi wa jeshi hilo Fotunatus Muslim amesema katika jitiahada za jeshi hilo halita to a msamaha kwa dereva atakaye kiuka sjeria za barani
"Hatutoa nafsi wavitendovyo vyaunjjifu wa maadili ya udereva kwani taaluma yaudereva nitaluma inayozingatia sheria"alisema kamishina Muslim
Kamishina Muslim amesema kuwa jeshi hilo litaendelea na operesheni ya usakama barabarani ilikuhakikisha vitendo vya ajali vinapungua.
A
Jeshi la polisi kitengo cha usalama barabani limesema litaendelea na uukaguzi wa magari sambamba na kusimamiasheria za barabarani ili kuepukana ajali.
Akizungumza na waandishi wa HABARI Kamishina mwandamizi wa jeshi hilo Fotunatus Muslim amesema katika jitiahada za jeshi hilo halita to a msamaha kwa dereva atakaye kiuka sjeria za barani
"Hatutoa nafsi wavitendovyo vyaunjjifu wa maadili ya udereva kwani taaluma yaudereva nitaluma inayozingatia sheria"alisema kamishina Muslim
Kamishina Muslim amesema kuwa jeshi hilo litaendelea na operesheni ya usakama barabarani ilikuhakikisha vitendo vya ajali vinapungua.
A
Comments
Post a Comment