Droo ya Kombe la Dunia 2018 kufanyikaDesemba 1 Urusi

Baada ya mataifa 32
kufanikiwa kufuzu fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika mwakani
nchini Urusi, droo ya kupanga makundi ya timu hizo itafanyika Ijumaa ya
Desemba 1 mjini Moscow.
Kuelekea zoezi hilo baadhi ya Timu ambazo
zimepangwa chungu kimoja ni chungu cha kwanza ambacho kina timu mwenyeji
Urusi, Ujerumani, Brazil, Ureno, Ajentina, Ubelgiji, Poland na
Ufaransa.- Mambo muhimu kuhusu nchi ambazo tayari zimefuzu Kombe la Dunia 2018
- Taifa la watu 335,000 lafuzu Kombe la Dunia
Na kuelekea fainali hizo FIFA wamesema mpaka sasa kuna maombi milioni 3.5 ya tiketi na walioomba wengi wao ni wenyeji Urusi.
Vyungu vimepangwa vipi?
Vyungu Kombe la Dunia | |||
---|---|---|---|
Chungu 1 | Chungu 2 | Chungu 3 | Chungu 4 |
Urusi (wenyeji) | Uhispania (8) | Denmark (19) | Serbia (38) |
Ujerumani (1) | Peru (10) | Iceland (21) | Nigeria (41) |
Brazil (2) | Uswizi (11) | Costa Rica (22) | Australia (43) |
Ureno (3) | England (12) | Sweden (25) | Japan (44) |
Argentina (4) | Colombia (13) | Tunisia (28) | Morocco (48) |
Ubelgiji (5) | Mexico (16) | Misri (30) | Panama (49) |
Poland (6) | Uruguay (17) | Senegal (32) | Korea Kusini (62) |
Comments
Post a Comment