Jaji warioba awataka wasiasa kuiga viongozi WA dini.

Timothy Marko.
Jaji mstaafu nchini Tanzania Joseph warioba amewataka viongozi wa kisiasa kuigamfano wa viongozi wadini kuweza kujadili changamoto zao kwa mstakabali wa nchi.
Akizungumza katika komgamamo LA amano lililo andaliwa na taasisi ya Mwalimu nyerere warioba amesema kuwa nuhimu kwa viongozi hao kujenga utamaduni wakuvumiliana kama viongozi wa dini.

''Tungekuwa katika halimbaya kama viongozi hawa wasinge jenga utamaduni wa kutana  Mara kwa Mara"alisema jaji warioba
Jaji warioba amesema kuwa nivyema viongozi wa kisiasa  kuachana na mal

Comments

Popular posts from this blog

Mvua yatatiza mpambano kati ya Simba SC na El Masri

Marubani Wawili Wapoteza Maisha kwa Ajali ya Ndege Zanzibar

Huduma za serikali ya Marekani zakwama kwa mara nyengine