Mkutano wa bima kufanyika November.mosi
Timothy Marko
Mamlaka ya usimamizi wa bima nchini imewataka wadau mbalimbali wa sekta ya bima nchini kujitokeza kuhudhuria mkutano wa bima utakao fanyika November 1-3 jijini arusha.
Akizungumza na waandishi wa HABARI jijini dar es salaam kamishina wa bima nchini Dk.baghayasaqwere amesema masuala yatakayo jadiliwa pamoja uenddelezaji wa huduma za bima.
"Tira kama msimamizi namshauri wa seerikali inawaalika wadauwote wasektaya bima ikiwemo mawakala wa bimakutumia mkutano huu kujifunzaa,''alisema saqwere.
Mamlaka ya usimamizi wa bima nchini imewataka wadau mbalimbali wa sekta ya bima nchini kujitokeza kuhudhuria mkutano wa bima utakao fanyika November 1-3 jijini arusha.
Akizungumza na waandishi wa HABARI jijini dar es salaam kamishina wa bima nchini Dk.baghayasaqwere amesema masuala yatakayo jadiliwa pamoja uenddelezaji wa huduma za bima.
"Tira kama msimamizi namshauri wa seerikali inawaalika wadauwote wasektaya bima ikiwemo mawakala wa bimakutumia mkutano huu kujifunzaa,''alisema saqwere.
Comments
Post a Comment