MFUMUKO WABEI WAPUNGUA

EPHRAIM KWESIGABO (1)

Mkurugenzi wa ofisi yatakwimu nchini EphrahimuKWESIGABO

Timothy Marko .
MFUMUKO wa bei nchini kwa mwezi september mwaka jana umeongezeka kwa asilimia 0.02 ikilinganishwa na mwezi agosti huu huku farihisi za bei zimeongezeka kutoka 108 .46 kwa mwezi agosti hali iliyochangiwa na kuongezeka kwa  bei ya vyakula na visivyo vyakula .

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam Mkurugenzi wa ofisi yatakwimu nchini Ephrahimu kwesigabo amesema kuwa baadhi ya bidhaa zilizochangia kuongezeka kwabei nipamoja na dagaa 7%Matunda makavu ikiwemo nazi kwaasimia 3.1.

''BIDHAA mfanodaga uchangiwa kwafarihisi zabei kuongezeka huku bidhaa zisizo na chakula kusababisha farihisi zabei kuongezeka kwa farihis za bei nipamoja mka petroli kwa asilimia 0.6''Alisema KWESIGABO.

Comments

Popular posts from this blog

Mvua yatatiza mpambano kati ya Simba SC na El Masri

Marubani Wawili Wapoteza Maisha kwa Ajali ya Ndege Zanzibar

Huduma za serikali ya Marekani zakwama kwa mara nyengine