POSTA :TUMERUDI KWENYE RELI YA STARNDARD GAUGE.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), Elia Madulesi (wa pili kushoto), akizungumza wakati akimkaribisha Ofisa Mtendaji Mkuu wa TPC, Deo Kwiyukwa (wa pili kulia), kuzungumza katika mkutano wa Mwenyekiti wa Bodi ya shirika, Dk. Harun Kondo (kulia), Menejimenti na Viongozi wa Vyama vya Wafanyakazi wa shirika hilo, Dar es Salaam leo. (Picha zote na Kassim Mbarouk) |
SHIRIKA la Posta nchini Tanzania limeanza mchakato wakuwabainisha wafanyakazi hewa waliopo katika shirika hilo ilikuweza kukabiliana navitendo vyarushwa naupotevu wa mapato ilikuweza kuhakikisha shirika hilo linakuwa kiuchumi na kuleta tija katika Taifa .
Akizungumza katika uzinduzi wa kikao cha bodi cha shirika hilo Mkurugenzi mtendaji wa Shilika la posta nchini Dk.Harrun Kombo amesema kuwa katika kipindi cha mwaka2015/17 limeweza kustahiki katika kuliendesha shirika hilo .baini jumla yawafanyakazi 69 ambaowamebainika kutokuwa na sifa
Comments
Post a Comment