SERIKALI YAVITAKA VYOMBO VYA HABARI KUACHA UCHOCHEZI

Image result for mkurugenzi wa IDARA YA HABARI MAELEZOTimothy Marko
SERIKALI nchini Tanzania imevionya Baadhi ya vyombo vya Habari vinavyokiuka maadili ya uandishi wa
Habari kwa kuandika habari zinazochochea nakuleta mtafaruku kwa jamii

Onyo hilo limekuja baada ya Gazeti la Nipashe kuandika kichwa cha habari kisemacho'' NIMATESO ''toleo la leo  sambamba nagazeti la MWANANCHI lenye kichwa cha habari Bomoa Bomoa nyingine yakufa mtu yaja Dar ''ambapo serikali imedaikuwa vyombo hivyo vimekuwa vikichochea na kuleta taharuki kwa jamiii.

Akizungumza nawaandishi wa Habari jijini Dar es salaam  Mkurugezi mkuu wa idara ya Habari na Msemaji waserikali Hassan Abbas amesemakuwa vichwa vilivyotolewa namagazeti hayo vimekiuka misingi yahabari ambapo vinamtaka kutohukumu wa kati wakuandika habari yoyote .
''VICHWA HIVI VIMEKIUKA MISINGI Ya habari ikimewemo kuhukumu yani judgemental headline uandishi wahabari unaosimimia haki naukweli nimsingi kwajamii yetu''Alisema HASSAN ABASS

Comments

Popular posts from this blog

Mvua yatatiza mpambano kati ya Simba SC na El Masri

Marubani Wawili Wapoteza Maisha kwa Ajali ya Ndege Zanzibar

Huduma za serikali ya Marekani zakwama kwa mara nyengine