SERIKALI YABAINI UBADILIFU KATIKA HUDUMA ZA HATI PUNGUZO


Timothy  Marko.
SERIKALI imesema kuwa hatua yake ya kusitisha huduma ya hati punguzo katika upatikanaji huduma ya afya ktwa wananchi imetokana na baadhi yawatendaji waserikali kutokuwa wa waa minifu kutowafikishia wananchi huduma hiyo kwa wakati.

Hayo yamebanishwa na Kaimu Mkurugenzi wa mpango wa kudhibiti malaria wizara  ya afya maendeleo ya jamii jinsia   wazee na watoto  charles mwalimu  amesema kuwa kumekuwa  na  baadhi ya  watendaji wamekuwa wakitumia mpango  wa  hati  punguzo vibaya kwa  udanganyifu hali iliyo pelekea waisani wanaoratibu  mpango  huo  kutoka  nchini  uingereza kusitisha .

"mpango  huu ulikuwa unaratidiwa na  shirika la  DFID la  kutoka nchini  uingereza lakini  kumekuwa  na  udanganyifu  juu  ya  mpango  huo kwa  baadhii  ya  watendaji  wa  serikali  kunufaika  kinyume  cha  sheria  hali  iliyo  pelekea  baadhii  ya  waisani   kutoka  nchini  uingereza  kusitisha  mpango  huo  "alisema charles  mwalimu 
 
vilevile  tukibaini  vyandarua  vilivyo  gawia  mashuleni  kwa  kutokuwa  matumizi  stahiki  serikali  haitosita  kuwachukulia  hatua  watendaji  wa  serikali  ikiwemo  wenyeviti  wa  serikali  za  mitaa  na  watendaji  wa  vijiji.

kwa  upande  wake mkuu  wa  kitengo  cha  uchunguzi  wa  matibabu  wa  wizara  ya  afya  maendeleo  ya  jamii  jinsia  wazee  na  watoto  Dk. sixbert mkude  amesema  kuwa  vyandarua  vinavyotumika  vimewekewa viwatilifu  na  kufanyiwa  utafiti  na  shirika  la  afya  duniani  WHO na  kusisitiza  kuwa  vyandarua  hivyo  havina  madhara  kwa  jamii  hivyo  amewaomba  wananchi  kutokuwa  na  wasiwasi  wa  utumiaji  wa  vyandarua  hivyo 

Comments

Popular posts from this blog

Mvua yatatiza mpambano kati ya Simba SC na El Masri

Marubani Wawili Wapoteza Maisha kwa Ajali ya Ndege Zanzibar

TANZANIA KUWA MWENYEJI WA CHANGAMOTO ZA MADAWATI YAKIJINSIA JUNE 13