MHE. SPIKA JOB NDUGAI AMEMTEMBELEA SPIKA WA BUNGE LA UMOJA WA FALME ZA KIARAB

SPIKA 1
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai ametembelela Bunge la Umoja wa Falme za Kiarabu lililopo Abu Dhabi na kufanya mazungumzo  na Spika wa Bunge hilo, Mhe. Dkt. Amal Al Qubaisi ambapo amewasilisha  mapendekezo rasmi ya kuanzisha umoja na urafiki wa kibunge baina ya Bunge la Tanzania na Bunge la Umoja wa Falme za Kiarabu.
SPIKA 2
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akisalimiana na Spika wa Bunge la Umoja wa Falme za Kiarabu, Mhe. Dkt. Amal Al Qubaisi baada ya kutembelea Bunge hilo na kufanya nae mazungumzo ambapo pia amewasilisha  mapendekezo rasmi ya kuanzisha umoja na urafiki wa kibunge baina ya Bunge la Tanzania na Bunge la Umoja wa Falme za Kiarabu ambayo yamekubaliwa
SPIKA 3
Mhe. Spika Job Ndugai akikasaini kitabu cha wageni wakati alipotembelea Bunge la Umoja wa Falme za Kiarabu  huku akiangaliwa na Spika wa Bunge hilo, Mh. Dkt. Amal Al Qubaisi (katikati) na Katibu wa Bunge Ndg. Ahmed Shabeeb.
SPIKA 4
Mhe. Spika Job Ndugai akikabidhi ujumbe wake maalum kwa  Spika wa Bunge la Umoja wa Falme za Kiarabu, Mh. Dkt. Amal Al Qubaisi.

Comments

Popular posts from this blog

Mvua yatatiza mpambano kati ya Simba SC na El Masri

Marubani Wawili Wapoteza Maisha kwa Ajali ya Ndege Zanzibar

TANZANIA KUWA MWENYEJI WA CHANGAMOTO ZA MADAWATI YAKIJINSIA JUNE 13