MAONESHO YA WAANDISI KUFANYIKA MJINI DODOMA
Kaimu wa Bodi ya usajili wa Waandisi nchini Muhandisi Patrick Barozi |
Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es salaam Kaimu wa Bodi ya usajili wa Waandisi nchini Muhandisi Patrick Barozi amesema kuwa maadhimisho hayo yataendana sambamba na kiapo cha watalamu wa uhandisi na maonesho mbalimbali ya kifundi na biashara pamoja nakuwazawadia waandisi wahitimu waliofanya vizuri mitihani ya kuhitimu uhandisi katika kipindi cha mwaka 2016/17.
''Maadhimisho ya mwaka huu yataendana na taasisi mbalimbali kuonesha bidhaa zikiwemo mashine mbalimbali ikiwemo mashine za kushindilia barabara zilizogunduliwa nawatalamu wa kitanzania sambamba na mashine ya kuchakata migomba nakutengeneza nywele za bandia za kinadada ,mashine yakusaga mihogo pamoja namashine za power tiller kwa ajili ya kilimo ''Alisema BAROZI .
Comments
Post a Comment