DSTV LATANGAZA PUNGUZO LA BEI YA VINGA'MUZI

3 mins ago BIASHARA
1
Mkurugenzi Mtendaji wa Multichoice Tanzania Maharage Chande na Balozi wa Multchoice Nancy Sumari wakikabidhi zawadi kwa washindi baada ya kushindwa katika bahati nasibu wakati wakitangaza punguzo kubwa la bei kwa vifurushi vyote vya DStv bei zitakazoanza kutumika rasi Septemba mosi 2017.

4
Balozi wa Multchoice Tanzania Nancy Sumari akizungumza mara baada ya kutagazwa kwa punguzo kubwa la vufurushi wa DSTV leo.
5 6
Punguzo linavyoonekana katika kipeperushi
7
Meneja Masoko wa Multchoice Tanzania Bw. Alfa Mria akizungumza katika hafla hiyo ya kutangaza punguzo kubwa katika vifurushi vyote vya DSTV.
8
Meneja Mawasiliano wa Multchoice Tanzania Bw. Jonson Mshana akitoa maelezo mafupi kabla ya kumkaribisha Mkurugezi Bw. Maharage Chande kwa ajili ya kutangaza punguzo la vifurushi hivyo.
9
Baadhi ya wafanyakazi wa Multchoice Tanzania wakiwa katika hafla hiyo
10 11
Afisa Masoko na Mawasiliano wa Multchoice Tanzania Bi. Shumbana Walwa kushoto akiwa pamoja na wafanyakazi wenzake katika hafla hiyo.
12 13
Mkurugenzi Mtendaji wa Multichoice Tanzania Maharage Chande  wa pili kutoka kulia akiwa na Meneja Masoko Alfa Mria kulia kutoka kushoto ni Nancy Sumari Balozi wa Multchoice Tanzania na William Malecela Le Mutuz.
………………………………………………………………………….
Yafyeka bei za vifurushi vyote! Wapenzi wa Kandanda ‘meno nje’
PANGA LA BEI LAFYEKA;  DStv Premium kwa 8.15%, DStv Compact Plus kwa 11.02%, DStv Compact kwa 16.11%, DStv Family kwa 9.09% and DStv Access (Bomba) kwa 4.88%
……………………………………………………………………..
Dar es Salaam Jumanne Agosti 29,2017; Katika kuhakikisha kuwa wateja wake wote na watanzania kwa ujumla wanaendelea kufurahia huduma za DStv, kampuni ya Multichoice Tanzania imetangaza neema kubwa kwa wateja wake kwa kufyeka bei za vifurushi vyake vyote, huku pia ikiboresha maudhui na vipindi katika vifurushi vyake hususan vile vya bei ya chini!
Habari hiyo njema imetangazwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Multichoice Tanzania Maharage Chande, alipokuwa akiongea na waandishi wa habari katika makao makuu ya kampuni hiyo jijini Dar es Salaam ambapo amesema bei hizo mpya zitaanza kutumika rasmi Septemba mosi 2017.
“Kumjali na kumsikiliza mteja ni nguzo ya uendeshaji wa biashara yetu. Tumesikia maoni ya wateja wetu na wananchi kwa ujumla kutusihi tuangalie uwezekano wa kupunguza bei, tumechanganua kwa kina na tumeamua kutekeleza matakwa yao, leo hii tumepitisha panga kwenye bei za vifurushi vyetu vyote!” alisema Maharage.
Akifafanua kuhusu punguzo hilo, Maharage amesema  kumekuwa na punguzo la hadi asilimia 16, ambalo ni punguzo kubwa sana na litakalowapa ahueni kubwa watumiaji wa DStv. Amezitaja bei mpya kuwa ni;

Comments

Popular posts from this blog

Marubani Wawili Wapoteza Maisha kwa Ajali ya Ndege Zanzibar

Mvua yatatiza mpambano kati ya Simba SC na El Masri

Huduma za serikali ya Marekani zakwama kwa mara nyengine