BAKITA YA WATAKA WATALAMU WA KISWAHLI KUJITOKEZA
Katibu Mtendaji WA BAKITA Dk.Selemani SEWANGI |
Timoth Marko.
BARAZA la kiswahili limewataka watalamu wa kiswahili nchini kuweza kukusanya nyaraka zao ikiwemo vyeti vyakitaluma vinavyohusiana na taaluma hiyo ikiuweza kujipatia ajira kutokana na taaluma hiyo ndani na nje ya nchi .
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam Katibu Mtendaji wabaraza hilo Dk.Selemani sewangi amesema kuwa ukusanyaji wa nyaraka hizo kutawezesha kuwapata wataamu mbali mbali wa sekta hiyo ajira pindi wanapohitajika kwa majukumu yakitaifa nakuratibu shughuli mbalimbali ikiwa pamoja kurahisisha mmafunzo hayo.
''kuwa nawatalamu wakiswahili nijambo moja nakuwa nataarifa zao nijambo jingine ilikuweza kujua Tanzania inawatalamu wangapi nawanauwezo gani ''Alisema Selemani Sewangi.
Comments
Post a Comment