MHE.NDUGAI AKIWA NA SPIKA WA UGANDA, AFRIKA YA KUSINI NA CAMEROON

spika Ndugai 1
Mhe. Spika Job  Ndugai akiwa katika mazungumzo na Maspika wa Nchi za Uganda (kwanza kushoto) Mhe. Rebeka Kadaga ,Afrika Kusini (pili kushoto)Mhe. Thandi Modise na Naibu Spika wa Cameroon kulia) Mhe. Monjowa Lifaka .Spika Ndugai yuko nchini Nigeria kuhudhuria mkutano wa Maspika wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Barani Afrika.

Comments

Popular posts from this blog

Mvua yatatiza mpambano kati ya Simba SC na El Masri

Marubani Wawili Wapoteza Maisha kwa Ajali ya Ndege Zanzibar

Huduma za serikali ya Marekani zakwama kwa mara nyengine