MAJALIWA AWATAKA WIZARA YA AFYA KUJITATHIMINI .

Tokeo la picha la kassimu majaliwa

Waziri Mkuu Kassimu Majaliwa

Timoth Marko
KATIKA kutambua umuhimu wasekta ya afya kwa wananchi wake,serikali imezindua dawati maalum linalohusiana naafya ilikuweza kufanya tathimini ya magonjwa ya mlipuko ilikuweza kudhibiti magonjwa hayo yasiingie katika nchi kupitia mipakani .

Akizindua Mpango huo jijini Dar es salaam  Waziri Mkuu Kassimu Majaliwa  amesema mpango huo utaiwezesha serikali na taasisi zake zinazohusiana na masuala ya afya kuweza kutathimini muundo wa uthibiti wamagonjwa ya mlipuko yanayotoka mipakani kupitia dawati la afya .

''Suala la afya ni agenda muhimu kwa nchi zinazoendelea afrika lipo katika hatari zaidi kuingiliwa na magonjwa ya mlipuko kama Ebola uliotokea nchini Congo magonjwa haya hayana mipaka wito wangu mpitie mpango wa dhana hii ''Alisema Waziri Mkuu Kassimu Majaliwa .

Waziri mkuu Kassimu Majaliwa alisema kuwa magonjwa yamlipuko hajalishi upo upande wazanzibar au upande wa Tanzania bara aliwataka mawaziri wapandezote wa afya kuweza kujadili magojwa ya mlipuko bila kujali mipaka ya majukumu yao kikatiba .
ALISEMA kuwa utekelezaji wampango huo wakudhibiti magonjwa yamlipuko upo katika ilani ya chama chamapinduzi ambapo inalenga watu watakao zalisha mali kuwa na afya bora suala la afya ni agenda ya dunia

Comments

Popular posts from this blog

Mvua yatatiza mpambano kati ya Simba SC na El Masri

Marubani Wawili Wapoteza Maisha kwa Ajali ya Ndege Zanzibar

TANZANIA KUWA MWENYEJI WA CHANGAMOTO ZA MADAWATI YAKIJINSIA JUNE 13