SIMU NYINGINE KALI IKIWA YA KWANZA KUTOKA TECNO





TECNO kampuni ya simu za mkononi iliyojizolea umaarufu barani Africa na Mashariki ya kati kupitia uzalishaji wake wa simu janja (smart phone) imeendelea kushika chati katika masoko mbalimbali barani Afrika.

Kama ilivyo kwa kila mwaka, kampuni ya TECNO huzindua simu mpya na hua ni muendelezo wa matoleo yaliopita. Kwa mwaka huu TECNO wanaachilia simu ikiwa ni muendelezo wa simu aina ya CAMON. Camon imekua moja wapo ya simu janja (smartphone) pendwa sana kwa wadau kwa mwaka 2017!

full glass2
Wanatarajia kuachilia simu hio ndani ya miezi ya kwanza (Januari – March) mwaka huu na itakua ni simu ya kipekee kwani itakua na vigezo maalumu kulinganisha na simu zingine zilizopita kabla!
full glass
Selfie camera

Kadri miaka inavyosogea na kuendelea teknolojia ya simu, miundo ya simu, vigezo, mahitaji na matumizi ya simu hubadilika na kuongezeka, hivyo kama kampuni imekua ni jambo muhimu kuweza kutoa simu zinazokidhi mahitaji ya wadau na watumiaji wa bidha zake hivyo kutoa toleo jipya kabisa!

Simu mpya2

Je, ni simu gani na itakua na vigezo/muundo gani?

Fuatilia kurasa za TECNO katika mitandao ya kijamii na tovuti yao kujua zaidi!

Comments

Popular posts from this blog

Mvua yatatiza mpambano kati ya Simba SC na El Masri

Marubani Wawili Wapoteza Maisha kwa Ajali ya Ndege Zanzibar

TANZANIA KUWA MWENYEJI WA CHANGAMOTO ZA MADAWATI YAKIJINSIA JUNE 13