SERIKALI KUSHIRIKIANA NAWADAU MBALIMBALI KATIKA UTAFITI.

Image result for anthony mavunde

NAIBU Waziri wa Kazi jira na watu wenye ulemavu nchini Tanzania Antony Mavunde

Timothy Marko.
 NAIBU Waziri wa Kazi jira na watu wenye ulemavu nchini Tanzania Antony Mavunde amezitaka taasisi mbalimbali za umma kuzitumia tafiti ilikuweza kutengeneza sera mathubuti ili kuwaletea wananchi maendeleo ya kiuchumi
.
Wito huo umetolewa jijini Dar es salaam Wakati Naibu Waziri  Antony Mavunde akizindua ripoti iliyoandaliwa na chuo cha Biashara cha CBE ijulikanayo kama hali ya maendeleo ya ubora waviwango vya bidhaa nahuduma Barani Afrika (standardization  for sustainable develompement) ambapo amesema kuwa ili nchi zinazoendelea kama Tanzania nilazima kutumia tafiti za kitaluma katika nyanja mbalimbali ilikuweza kujiletea maendeleo .

''tunatakiwa kuweka suala lautafiti kama njia sahihi ya kuboresha sera za maendeleo ilikuweza kufikia nchi za uchumi wakati lazima suala lautafiti iliwekewe mkazo nakama hatutaweka bajetizetu katika kufanya utafiti hatutoweza kuendelea ''Alisema Naibu Antony Mavunde .

Mavunde alisema kuwa serikali yawamu yatano imeahidi kuweza kushirikiana  nataasisi mbalimbali zinazo jihusisha nautafiti ilikuweza kujiletea maendeleo ya kiuchumi .

Comments

Popular posts from this blog

Mvua yatatiza mpambano kati ya Simba SC na El Masri

Marubani Wawili Wapoteza Maisha kwa Ajali ya Ndege Zanzibar

TANZANIA KUWA MWENYEJI WA CHANGAMOTO ZA MADAWATI YAKIJINSIA JUNE 13