MWANARIADHA ALPHONCE SIMBU APOKELEWA KWA SHANGWE NCHINI
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa
na Michezo, Mhe.Dkt. Harrison Mwakyembe (kulia) pamoja na baadhi ya
Viongozi wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) akipoka bendera ya Taifa toka
kwa Wanariadha Aphonce Simbu na wenzake baada ya kuwasili toka nchini
Uingereza kwenye Mashindano ya Marathon ya 2017.
Mwanariadha Alphonce Simbu
akiwashukuru Viongozi mbalimbali waliokuja kumpokea na kumpongeza kwa
ushindi wake katika Mashindano ya Mbio nchini Uingereza kwa mwaka 2017
ambapo aliweza kujinyakulia medali ya shaba.
Wazazi wa Mwanariadha Alphonce
Simbu wakiwaonyesha Waandishi wa habari (hawapo pichani) medali ya shaba
aliyoshinda mtoto wao katika Mashindano ya Mbio nchini Uingereza kwa
mwaka 2017.
Comments
Post a Comment